UCHAMBUZI AFCON 2027 NA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

UCHAMBUZI AFCON 2027 NA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

LSM WORLD - Lusamwa
00:30:00
Link

About this episode

Karibu kwenye uchambuzi wa kina kuhusu PAMOJA BID AFCON 2027 na Uchambuzi kuelekea michezo ya wikiendi hii ambapo Young Africans Sports Club wataikaribisha El Merrekh kutoka nchini Sudan na Simba Sports Club wataikaribisha Power Dynamos ya kutoka nchini Zambia michezo yote ikifanyika uwanja wa Chamazi Complex Jijini Dar es salaam, Tanzania.