
15 October 2025
Wanawake wa vijijini nchini Kenya wataka uwezeshaji wa kifedha
Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
About
Kuanzia Oktoba 15 mwaka 2008 dunia imekuwa ikiadhimisha siku ya Kimataifa ya Wanawake wa Vijijini kama fursa ya kutambua mchango mkubwa wa wanawake hawa katika maendeleo ya kijamii, kiuchumi, na kimazingira.. Sheilah Jepngetich amefuatilia mchango wa wanawake wa vijijini nchini Kenya na kutuandalia taarifa hii.