
18 February 2026
Wakazi katika ukanda wa Gaza wahaha kumudu mlo wakati wa mfungo wa Ramadhani
Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
About
Waumini wa dini ya kiislamu duniani kote wameanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, kipindi kinachoambatana na sio tu ibada bali pia mlo kama vile futari na daku. Hata hivyo kwa wakazi wa Gaza, eneo la Palestina linalokaliwa na kimabavu na Israeli hali si hali kwani mlo na mengine yanayoambatana na kipindi hiki vinasalia kuwa ndoto. Assumpta Massoi anafafanua zaidi.