UNDP Kenya yaunga mkono wanawake wa jamii ya asili Narok katika uhifadhi wa misitu
09 January 2026

UNDP Kenya yaunga mkono wanawake wa jamii ya asili Narok katika uhifadhi wa misitu

Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

About
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo, (UNDP), nchini Kenya, kupitia mradi wa kuhimili tabianchi au Climate Promise Guarantee, limewawezesha wanawake wa jamii ya asili katika Kaunti ya Narok, nchini humo kuongoza juhudi za uhifadhi wa misitu huku wakilinda urithi wao wa kitamaduni na kuboresha maisha ya familia zao. Sheilah jepnge’tich na taarifa zaidi.