UN: Dunia ipo katika kipindi cha maamuzi kuhusu mustakbali wa ukimwi
01 December 2025

UN: Dunia ipo katika kipindi cha maamuzi kuhusu mustakbali wa ukimwi

Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

About
Kama tulivyokujuza le oni Siku ya UKIMWI Duniani na mwaka huu inaadhimishwa kwa onyo kali kuhusu janga hilo pamoja na wito wa kuchukua hatua. Ikibeba kaulimbiu “Kukabili misukosuko, kubadili mwelekeo wa hatua za UKIMWI,” Umoja wa Mataifa unasema dunia ipo katika kipindi cha uamuzi muhimu katika vita dhidi ya VVU. Flora Nducha na taarifa zaidi