Ukandamizaji wa uhuru wa kujieleza huko Mashariki ya Kati - Türk
01 April 2026

Ukandamizaji wa uhuru wa kujieleza huko Mashariki ya Kati - Türk

Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

About
Tangu kuanza kwa mashambulizi ya Marekani na Israeli dhidi ya Iran, ukandamizaji wa nafasi ya kiraia na uhuru wa kujieleza umeongezeka kwa kiasi kikubwa kwenye eneo la  Mashariki ya Kati, ukiongeza hali ya hofu iliyokuwepo tayari kutokana na migogoro na misukosuko mingi, ameonya hii leo Kamishna Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu, Volker Türk. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.