Opens in a new window
Uhaba wa maji watishia mafanikio ya SDGs – Guterres
13 July 2026

Uhaba wa maji watishia mafanikio ya SDGs – Guterres

Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

About
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, ameonya kwamba dunia ipo nyuma katika kutekeleza ahadi zake kuhusu upatikanaji wa maji safi na salama na huduma za kujisafi. Hivyo basi amezitaka serikali, sekta binafsi na jamii kuchukua hatua za haraka kukabiliana na uhaba unaoongezeka wa maji, uchafuzi wa mazingira na shinikizo linalotokana na mabadiliko ya tabianchi. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.