
09 January 2026
Ripoti ya UN yabainisha sintofahamu wanayokumbana nayo waganda kuelekea uchaguzi mkuu
Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
About
Ikiwa zimebakia siku 6 kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu nchini Uganda, hii leo Umoja wa Mataifa imetoa ripoti inayobainisha kuwa uchaguzi huo utafanyika katika mazingira yaliyogubikwa na ukandamizaji, vitisho dhidi ya wapinzani wa kisiasa, watetezi wa haki za binadamu, na waandishi wa habari. Assumpta Massoi na maelezo zaidi.