
11 February 2026
Ripoti: Uhasama wa umma dhidi ya wabunge waongezeka duniani
Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
About
Wabunge kote ulimwenguni wanakabiliwa na viwango vinavyoongezeka vya vitisho, unyanyasaji na vurugu kutoka kwa umma imesema ripoti mpya iliyotolewa leo na Muungano wa Mabunge Duniani (IPU). Rashid Malekela na taarifa zaidi.