Miaka mitatu ya vita nchini Sudan madhila kwa raia ni jinamizi linaloendelea: UN
15 April 2026

Miaka mitatu ya vita nchini Sudan madhila kwa raia ni jinamizi linaloendelea: UN

Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

About
Leo ni miaka mitatu kamili tangu vita vilipoanza nchini Sudan 15 Aprili 2023, mgogoro ambao umegeuka kuwa moja ya majanga makubwa zaidi ya kibinadamu duniani. Mamilioni ya watu wamekwama katikati ya mapigano, kuwa wakimbizi wa ndani na nje, njaa na ukosefu wa makazi, huku mashirika ya misaada ya Umoja wa Mataifa yakionya kuwa mateso yanaendelea kuongezeka kila uchao. Flora Nducha na taarifa zaidi