
16 April 2026
Jifunze Kiswahili: Maana ya methali “AWALI KUWA HERI SI AJABU”
Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
About
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili, leo mchambuzi wetu ni Dkt. Josephat Gitonga, ambaye ni Mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Nairobi nchini Kenya, kwenye Kitivo cha Tafsiri na Ukalimani anafafanua maana ya methali “AWALI KUWA HERI SI AJABU”