Janga la njaa na mateso vinazidi kutuangamiza, raia nchini Somalia wamweleza Fletcher
04 May 2026

Janga la njaa na mateso vinazidi kutuangamiza, raia nchini Somalia wamweleza Fletcher

Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

About
Wanawake na watoto waliokimbia ukame na migogoro nchini Somalia wameonya kuwa wanazidi kutumbukia katika janga la kibinadamu la njaa na mateso huku kupungua kwa ufadhili wa misaada ya kibinadamu kukiendelea kuathiri maisha ya watu kote nchini humo. Onyo lao limetolewa wakati mkuu wa masuala ya dharura na misaada ya kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, Tom Fletcher, akihitimisha ziara yake katika kambi za wakimbizi na vituo vya afya mjini Mogadishu na Baidoa mwishoni mwa wiki.  Flora Nducha na taarifa zaidi