
03 December 2025
Guterres: Kunapokuwa na ujumuishwaji wa kweli kila mtu ananufaika katika jamii
Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
About
Umoja wa Mataifa leo Desemba 3 unaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Watu wenye Ulemavu kwa ujumbe mzito kutoka kwa Katibu Mkuu António Guterres ujumbe unaotaka jamii ziwe si tu zinazoweza kufikiwa na watuwenye ulemavu, bali pia zenye ujumuishi wa kweli. Flora Nducha na taarifa zaidi