
22 April 2026
Diplomasia yapewa nafasi, Umoja wa Mataifa wakaribisha kuongezwa kwa sitisho la mapigano kati ya Marekani na Iran
Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
About
Umoja wa Mataifa umekaribisha tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump la kuongeza muda wa sitisho la mapigano kati ya Marekani na Iran, ukisema hiyo ni hatua muhimu kuelekea kupunguza mvutano kati ya mataifa hayo mawili. Tupate maelezo zaidi kutoka kwa Leah Mushi.