11 September 2026
Changamoto ndani ya mafanikio ya mradi wa kuongeza kipato na kulinda mazingira Kwale, nchini Kenya
Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
About
Nchini Kenya, mradi wa kuboresha mbinu za kipato za wavuvi na kulinda mazingira unaotekelezwa na mashirika ya Umoja wa Mataifa kupitia Kamisheni ya Masuala ya Uvuvi kwa Ukanda wa Kusini-Magharibi mwa bahari ya Hindi (SWIOFC) umeanza kuleta nuru kwa jamii za wavuvi kwenye kaunti ya Kwale nchini humo. Kwa sasa kiwango cha uvuvi mathalani dagaa kimeongezeka na kuibua changamoto ndani ya mafanikio.