Abiria mwingine amethibitishwa kuwa na ugonjwa wa virusi vya Hanta
06 May 2026

Abiria mwingine amethibitishwa kuwa na ugonjwa wa virusi vya Hanta

Habari za UN - Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu

About
Imethibitishwa kuwa abiria mwingine aliyekuwa kwenye meli ya kitalii iliyohusishwa na mlipuko wa ugonjwa wa virusi vya Hanta au Hantavirus ameambukizwa ugonjwa huo, ugonjwa ambao tayari umeua watu watatu waliokuwa ndani ya meli na kusababisha tahadhari ya kimataifa iliyoratibiwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) la Umoja wa Mataifa.  Assumpta Massoi na taarifa zaidi.