
About
Yaliyomo katika Jarida hili la habari za UNKauli za fidia na haki zatawala tukio la kumbukizi ya biashara ya utumwa kupitia bahari ya Atlantiki.UNCTAD: Meli zilizokuwa zikipita Hormuz zilikuwa 129 kwa siku, sasa ni 2 hadi 7 kwa siku.FAO Tanzania na wadau wawanoa maafisa misitu kudhibiti uvunaji haramu wa mazao ya misitu