Nuru ya Watu FM
Nuru ya Watu FM

Nuru ya Watu FM

Nuru ya watu ni kituo cha online redio cha Kikristo, ambacho hutangaza habari njema za ufalme wa Mungu, na kurusha muziki wa injili na matangazo ya moja kwa moja ya ibada na maombi na maombezi

kutuma mahitaji yako, kwa ajili ya maombi pia kutuma shuhuda kile Mungu ametenda Kwa namba 0658741414 whatsApp

Pia utaweza kufatilia ibada zetu live

Announcement

June 19, 2024

TANGAZO LA IBADA ZETU

Karibu katika ibada zetu kila siku ya jumanne saa 10:30 Jioni , Alhamisi saa 10:30 jioni na Jumapili kuanzia saa 3:30 asubuhi