25 August 2026
Yaliyojiri Afrika:Ujumbe maalum wafuatilia usitishaji mapigano DRC
SBS Swahili - SBS Swahili
About
Ujumbe wa kwanza wa aina yake umetumwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kufuatilia utekelezaji wa usitishaji mapigano kati ya jeshi la serikali na kundi la waasi la M23, linaloungwa mkono na Rwanda.