Yaliyojiri Afrika: Kenya na Uganda za zindua upanuzi wa ujenzi wa reli
24 March 2026

Yaliyojiri Afrika: Kenya na Uganda za zindua upanuzi wa ujenzi wa reli

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Marais wa Kenya na Uganda walikutana mjini Kisumu, kuzindua ujenzi uliocheleweshwa wa upanuzi wa reli yenye thamani ya mabilioni ya dola iliyojengwa na China.