Taarifa ya Habari: Ghana kuwaondoa raia wake 300 wanaoishi Afrika Kusini
14 May 2026

Taarifa ya Habari: Ghana kuwaondoa raia wake 300 wanaoishi Afrika Kusini

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Serikali ya Ghana imetangaza kuwa itawarudisha raia wake 300-wanaoishi nchini Afrika Kusini, kufuatia ongezeko la visa vya wageni kushambuliwa.