
20 April 2026
Taarifa ya Habari: DRC na M23 wa afikiana kuhusu hatua muhimu za kibinaadamu
SBS Swahili - SBS Swahili
About
Mweka Hazina wa taifa Jim Chalmers anasema atafanya mazungumzo na serikali za majimbo na mikoa, kuhusu kupunguza ukuaji wa Mfumo wa Kitaifa wa Bima ya Ulemavu (NDIS).