Taarifa ya Habari 23 Septemba 2025
23 September 2025

Taarifa ya Habari 23 Septemba 2025

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Waziri Mkuu amesema ombi la utaifa wa Palestina ni fursa ya amani, katika hotuba yake kuhusu soluhu ya nchi mbili, alipo hudhuria kikao cha Umoja wa Mataifa hii leo Jumanne 23 Septemba 2025.