Opens in a new window
Mbappé aiweka Ufaransa katika nusu fainali
10 July 2026

Mbappé aiweka Ufaransa katika nusu fainali

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Ufaransa imetinga nusu fainali ya Kombe la Dunia, baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Morocco. Kylian Mbappé amefunga mabao nane sawa na Lionel Messi, wakati Ousmane Dembélé akikamilisha ushindi huo.