Makala leo: Tovuti mpya na App ya kuwalinda wanafunzi wa kimataifa nchini Australia
27 February 2026

Makala leo: Tovuti mpya na App ya kuwalinda wanafunzi wa kimataifa nchini Australia

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Kwa wanafunzi wa kimataifa wanaosomea nchini Australia, kupata huduma ya afya mara nyingi huonekana kama swala ghali sana... au la kutatanisha sana kuweza kuipitia.