Australia yatinga raundi ya 32 baada ya sare yakutofungana dhidi ya Paraguayi
26 June 2026

Australia yatinga raundi ya 32 baada ya sare yakutofungana dhidi ya Paraguayi

SBS Swahili - SBS Swahili

About
Socceroos wamefanikiwa kufika hatua ya mchujo baada ya kupata sare yakutofungana katika Kundi D, wakati Ecuador ikiwaacha wajerumani vinywa wazi katika Kundi E na kufuzu kushiriki katika hatua ya timu bora 32.