
04 December 2025
Australia yafafanuliwa:Umoja wa mataifa wachunguza utaratibu wa kizuizi cha wahamiaji Australia
SBS Swahili - SBS Swahili
About
Utawala wa mamlaka ya uhamiaji wa Australia unachunguzwa na Umoja wa Mataifa wiki hii. Kikundi Kazi cha U-N juu ya Kuzuia Kiholela uhuru kinachunguza jinsi nchi hiyo inavyonyima watu uhuru wao - kutoka magereza hadi vituo vya vizuizi vya nje ya mipaka. Na kwa watu kama Muhammad, ambaye alizuiliwa kwa miaka sita, uchunguzi huu ni kitu kilichochelewa kwa muda mrefu.