
10 September 2025
Hukumu dhidi ya waziri Mutamba nchini DRC, athari za misaada ya kigeni watoto wakizaliwa na HIV
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
About
Wiki hii taarifa zilizokuwa gumzo kwenye vyombo vya habari ni kuhusu hukumu dhidi ya aliyekuwa waziri wa sheria nchini DRC, Constant Mutamba, nitakujuza pia kuhusu kampeni za uchaguzi mkuu nchini Tanzania, tutaangalia pia ajali ya boti nchini Nigeria iliyoua watu 30. Kimataifa, tutaangazia punde zaidi katika mzozo wa Urusi na Ukraine.