22 August 2026
Ziara ya rais wa DRC nchini Tanzania, ushindi wa Hakainde Hichilema huko Zambia
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
About
Makala hii imeangazia ziara ya rais wa DRC Félix Tshisekedi nchini Tanzania, mahakama ya Tanzania yasema kiongozi wa chama cha Chadema Tundu Lissu ana kesi ya kujibu ya uhaini, rais Hakainde Hichilema ndiye mshindi wa uchaguzi mkuu wa Zambia wiki iliyopita, utasikia siasa za Nchini Kenya, Sudan na kampeni za uchaguzi mkuu zilianza siku ya jumatano nchini Nigeria, pia tutaenda huko Senegal, na kwengineko Marekani kuiwekea Iran vikwazo vigumu zaidi vya kiuchumi