Opens in a new window
Yoweri Museveni aapishwa muhula wa saba Uganda, kongamano la Afrika forward Nairobi
16 May 2026

Yoweri Museveni aapishwa muhula wa saba Uganda, kongamano la Afrika forward Nairobi

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

About

Miongoni mwa habari kuu za dunia zilizopewa uzito juma hili ni pamoja na kuapishwa kwa rais wa Uganda Yoweri Museveni kwa muhula wa saba, kufanyika na kutamatika kwa mkutano wa Afrika na Ufaransa jijini Nairobi nchini Kenya, kauli ya rais wa Rwanda Paul Kagame akikosoa vikwazo vya Marekani kuhusu nchi yake, eneo la Afrika magharibi hususan Nigeria, Ghana na Mali, lakini pia Ziara ya rais wa Marekani Donald Trump huko China. Ungana na Ruben Lukumbuka, kupata mengi zaidi