Opens in a new window
Makubaliano kati ya Marekani na Iran kuvunjika, maandamano ya mawakili wa Kenya
11 July 2026

Makubaliano kati ya Marekani na Iran kuvunjika, maandamano ya mawakili wa Kenya

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

About

Yaliyojiri wiki hii ni kuvunjika kwa makubaliano kati ya Marekani na Iran, mazishi ya kiongozi wa kiroho wa Iran A.Khamenei, rais wa Tanzania Samia Suluhu kuwaonya wanaharakati dhidi ya kuchochea vurugu-wanasiasa wa upinzani, wanahabari pamoja na wanaharakati, Uganda waishi kwa hofu kutokana na vitisho vya mkuu wa majeshi, wapinzani wa jukwaa la C64 DRC walikutana na rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye, na maandamano ya mawakili nchini Kenya