01 August 2026
Kuzirai kwa kiongozi wa upinzani Uganda, mahakama ya katiba nchini DRC yaamua
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
About
Kinara wa upinzani nchini Uganda azirai akiwa mahakamani, mahakama ya katiba nchini DRC ilisema kwamba sheria iliyopendekezwa kuhusu kuandaa kura ya maoni katika nchi hiyo ni ya kikatiba, seneta wa Nairobi Edwin Sifuna autikisa mwamba wa siasa nchini Kenya kuelekea uchaguzi wa 2027, siasa za Tanzania, Sudan, na Morocco ambako wahamiaji waliamua kuogelea kuvuka kwenda ulaya, uhispania, Washington ilisema mkataba wa kujisalimisha kwa Hamas kule Israeli umepatikana.