
23 May 2026
DRC yashirikiana na WHO, AU kupambana na Ebola, sitisho la mgomo wa madereva Kenya
Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii
About
Habari kuu za dunia wiki hii ni pamoja na kuzuka kwa mlipuko wa ugonjwa hatari wa ebola, DRC na juhudi za kimataifa zinazolenga kupambana na virusi hivyo, mkutano wa Kigali kuhusu nyuklia, mgomo wa madereva wa usafiri wa umma ulivyoathiri wananchi, Kenya, hali nchini Sudan ; lakini pia wahamiaji wasio na vibali wanavyohangaishwa kule Afrika kusini, ziara ya rais wa Urusi kule China ; lakini pia Marekani na Irani zikiendeleza vitisho kati yao