Opens in a new window
DRC yashirikiana na WHO, AU kupambana na Ebola, sitisho la mgomo wa madereva Kenya
23 May 2026

DRC yashirikiana na WHO, AU kupambana na Ebola, sitisho la mgomo wa madereva Kenya

Mtazamo Wako Kwa Yaliyojiri Wiki Hii

About

Habari kuu za dunia wiki hii ni pamoja na kuzuka kwa mlipuko wa ugonjwa hatari wa ebola, DRC na juhudi za kimataifa zinazolenga kupambana na virusi hivyo, mkutano wa Kigali kuhusu nyuklia, mgomo wa madereva wa usafiri wa umma ulivyoathiri wananchi, Kenya, hali nchini Sudan ; lakini pia wahamiaji wasio na vibali wanavyohangaishwa kule Afrika kusini, ziara ya rais wa Urusi kule China ; lakini pia Marekani na Irani zikiendeleza vitisho kati yao