Skip to content
Opens in a new window
Kenya: Wanaharakati watoa mapendekezo mapya dhidi ya plastiki zinazochafua mazingira
14 September 2026

Kenya: Wanaharakati watoa mapendekezo mapya dhidi ya plastiki zinazochafua mazingira

Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

About

Kenya inakabiliwa na changamoto ya plastiki zinazotumiwa mara moja tu kama vile mifuko inayotumiwa sokoni kupakia mboga ambazo huchangia katika uchafuzi wa mazingira licha ya kupigwa marufuku.

Ni Kutokana na hili ambapo wanaharakati wa mazingira wamekuja na mapendekezo mapya ya kukabiliana na tatizo hili, mbali na suluhu la uchakataji.

Moja ya matokeo ya mapendekezo haya ni kuiweka Kenya katika nafasi ya uongozi wa kikanda katika uvumbuzi wa mifumo ya kutumia tena bidhaa.

Hellen Kahaso Dena kutoka shirika la Greenpeace Africa amechambua swala hilo. Sikiliza zaidi kwa kubofya.