Waafrika wa kutazama kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia huko Tokyo, Japan
13 September 2025

Waafrika wa kutazama kwenye Mashindano ya Riadha ya Dunia huko Tokyo, Japan

Jukwaa la Michezo

About

Tuliyokuandalia ni pamoja na kuanza kwa mashindano ya riadha ya dunia, michuano ya Cecafa inayoendelea kwa kina dada na wanaume, Simba Day na Yanga Day huko Tanzania, michuano ya basketboli ya Afrika ya wavulana wasiozidi miaka 16, kinachotarajiwa baada ya rabsha katika mechi ya DRC na Senegal