
02 August 2025
CHAN 2024: Tanzania na Burkina Faso kufungua mashindano ya Chan leo usiku
Jukwaa la Michezo
About
Tumekuandalia mengi leo ikiwemo kuanza kwa mashindano ya CHAN - uchambuzi, matukio na matokeo, michuano ya basketboli ya wanawake yaingia nusu fainali, Gor Mahia yapata benchi mpya la ufundi huku shirikisho la soka nchini Kenya likipata mdhamini mpya wa ligi, tetesi za uhamisho ulaya, matokeo ya hatua ya tatu ya Canada Open, Barcelona yaingia kwenye udhamini wa jewi na taifa la DRC