CAF: Achraf Hakimi ashinda tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika mwaka 2025
22 November 2025

CAF: Achraf Hakimi ashinda tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika mwaka 2025

Jukwaa la Michezo

About

Leo tumezingatia tuzo za CAF 2025, AS FAR yaibuka washindi wa kombe la Ligi ya Afrika ya kina dada, kuanza kwa michuano ya klabu bingwa Afrika kwa wanaume huku AS FAR ikinyakua taji la kina dada, matokeo ya mechi za kufuzu AFCON U17 ukanda wa Cecafa, Curacao yakuwa taifa dogo zaidi kuwahi kufuzu Kombe la Dunia huku Marekani ikizindua mfumo maalum wa kutoa visa kwa wanunuaji tiketi.