AFCON 2025: Senegal, Morocco zatinga fainali. Je, nusu fainali ziliendaje?
17 January 2026

AFCON 2025: Senegal, Morocco zatinga fainali. Je, nusu fainali ziliendaje?

Jukwaa la Michezo

About

Leo tumeangazia pakubwa uchambuzi wa matukio na matokeo ya mechi za nusu fainali mechi za Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 na mechi ya mshindi wa tatu leo usiku, hotuba ya rais wa CAF Patrice Motsepe kabla ya fainali, Droo ya mashindano ya WAFCON ya kina dada ya mwaka huu, Rwanda kuwa mwenyeji wa michuano ya Afrika ya Handboli, Rwanda na Burkina Faso zafuta kazi makocha wao.