Kombe la Dunia 2026: Timu saba za Afrika zafuzu hatua ya muondoano
27 June 2026

Kombe la Dunia 2026: Timu saba za Afrika zafuzu hatua ya muondoano

Jukwaa la Michezo

About

Hatua ya makundi kwenye Kombe la Dunia inafikia kilele hii leo, ni timu gani zimefuzu hatua ya mtoano? Wiki ya pili ya michuano hii imeshuhudia rekodi zikiwekwa na kuvunjwa huku mataifa ya Afrika yakiendelea kufanya vizuri zaidi, lakini pia tutakupa uchambuzi wa mechi za kesho asubuhi. Aidha tumeangazia michuano ya Afrika Mashariki mchezo wa Baseball, tetesi za uhamisho na mashindano ya Paris Diamond League