Uwazi kwenye ubinafsishaji wa mashirika ya uma ni muhimu kwa maendeleo
11 March 2026

Uwazi kwenye ubinafsishaji wa mashirika ya uma ni muhimu kwa maendeleo

Gurudumu la Uchumi

About

Msikilizaji Katika miaka ya hivi karibuni, nchi nyingi za Afrika Mashariki zimekuwa zikifanya mageuzi makubwa ya kiuchumi. Mojawapo ya mageuzi hayo ni ubinafsishaji wa mashirika ya umma. Leo tunajiuliza, Je, ubinafsishaji ni kweli unasaidia uchumi kukua, au serikali inapaswa kubaki na umiliki wa mashirika muhimu?