Ushirikishwaji wa wanawake katika sekta za kiuchumi chanzo cha ukuaji wa uchumi
25 February 2026

Ushirikishwaji wa wanawake katika sekta za kiuchumi chanzo cha ukuaji wa uchumi

Gurudumu la Uchumi

About

Benki ya Dunia inasema hata katika nchi zenye sheria za kisasa kuhusu usawa kazini, nchi hizo zimeshindwa kuzitekeleza, hadi sasa hakuna nchi iliyofikia kiwango cha juu cha usawa kazini, n ani asilimia kidogo tu ya wanawake wanaishi kwenye nchi zenye angalau sheria bora, huku mataifa 70 ikiwemo Misri, Madagascra na Somalia zikipiga hatua katika kuboresha mazingira ya usawa kati yam waka 2023 na 2025.