About
Mara kadhaa tumesikia serikali zetu zikitangaza kuwa zinauza hati fungani za Serikali za muda mfupi na muda mrefu, yaani Government Bonds na Treasury bill, serikali zikikusanya mabilioni ya fedha kutoka kwa wawekezaji.
Sasa je, hatifungani ni nini? Je, mwananchi wa kawaida anaweza kuwekeza?